b..

B1

Wynem

animation

Wednesday, March 19, 2014

MGOMOWA BASI YA ABIRIA 'DALA DALA' WAENDELEA MKOANI MOROGORO


Hali si shwari mjini Morogoro leo hii ambapo madereva daladala wamegoma kutoa huduma kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupinga faini kubwa wanazotozwa na mamlaka za usalama barabarani mkoani humo.Mwakilishi wetu mkoani Morogoro ataendelea kutuweka karibu na tukio hili kwa kadiri litakavyokuwa likiendelea. Endelea kufuatilia ukurasa huu kwa updates za mara kwa mara.

Pichani ni baadhi ya wakazi wa Morogoro ambao leo asubuhi walilazimika kutumia usafiri wa vyombo visivyo rasmi kusafirisha abiria, ili kuwahi makazini


SOURCE: JUKWAA HURU  MEDIA PAGE

No comments:

Post a Comment